Job 41:20 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mshale hauwezi kulifanya likimbie; akitupiwa mawe ya teo huyaona kama makapi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Moshi hufuka kutoka puani mwake, kama kutoka chungu kinachotokota kwa moto wa matete.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Moshi hutoka katika mianzi ya pua yake, Kama nyungu ikitokota, na manyasi yawakayo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mshale hauwezi kulifanya likimbie; akitupiwa mawe ya teo huyaona kama makapi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Moshi hufuka kutoka puani mwake, kama kutoka kwenye chungu kinachotokota kwa moto wa matete.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Moshi hufuka kutoka puani mwake, kama kutoka kwenye chungu kinachotokota kwa moto wa matete.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Moshi hutoka katika mianzi ya pua yake, Kama nyungu ikitokota, na manyasi yawakayo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mshale hauwezi kulifanya likimbie; akitupiwa mawe ya teo huyaona kama makapi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Katika mianzi ya pua yake hutoka moshi kama wa chungu kichemkacho au wa moto wa matete.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Moshi hutoka katika mianzi ya pua yake, Kama nyungu ikitokota, na manyasi yawakayo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mushale hauwezi kumukimbiza; akitupiwa mawe ya mujeledi anayaona kama maganda.