Job 41:30 — Compare Translations

7 translations compared side by side

Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sehemu zake za chini kwenye tumbo zina menomeno na mapengo kama vigae vya chungu, zikiacha mburuzo kwenye matope kama chombo chenye meno cha kupuria.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Pande zake za chini ni kama vigae vikali; Hutandika malazi kama kuweka chombo cha kupuria nafaka juu ya matope.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sehemu zake za chini kwenye tumbo zina menomeno na mapengo kama vigae vya chungu, zikiacha mburuzo kwenye matope kama chombo chenye meno cha kupuria.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sehemu zake za chini kwenye tumbo zina menomeno na mapengo kama vigae vya chungu, zikiacha mburuzo kwenye matope kama chombo chenye meno cha kupuria.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Pande zake za chini ni kama vigae vikali; Hutandika malazi kama kuweka chombo cha kupuria nafaka juu ya matope.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Upande wake wa chini una vigae vyenye pembe, alipogaagaa ni kama matopeni, palipopita gari la kupuria.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Pande zake za chini ni kama vigae vikali; Hutandika malazi kama kuweka chombo cha kupuria nafaka juu ya matope.