Job 6:15 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Rafiki zangu wamenidanganya kama kijito, wamenihadaa kama mitaro isiyo na maji.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini ndugu zangu sio wa kutegemewa, ni kama vijito vya msimu, ni kama vijito ambavyo hufurika
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndugu zangu wametenda udanganyifu kama kijito cha maji. Mfano wa fumbi la vijito vipitavyo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Rafiki zangu wamenidanganya kama kijito, wamenihadaa kama mitaro isiyo na maji.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini ndugu zangu sio wa kutegemewa, ni kama vijito vya msimu, ni kama vijito ambavyo hufurika
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini ndugu zangu sio wa kutegemewa, ni kama vijito vya msimu, ni kama vijito ambavyo hufurika
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndugu zangu wametenda udanganyifu kama kijito cha maji. Mfano wa fumbi la vijito vipitavyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Rafiki zangu wamenidanganya kama kijito, wamenihadaa kama mitaro isiyo na maji.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndugu zangu wameniacha na kudanganya kama kijito, kama mikondo ya vijito vikaukavyo upesi;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndugu zangu wametenda udanganyifu kama kijito cha maji. Mfano wa fumbi la vijito vipitavyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Warafiki zangu wamenidanganya kama kijito, wamenidanganya kama mifereji isiyokuwa na maji,