Job 6:26 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Je, mnadhani kwamba mwaweza kuyakosoa maneno? Maneno ya mtu aliyekata tamaa ni upepo tu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Je, mna maana ya kuyasahihisha ninayosema, na kuyafanya maneno ya mtu anayekata tamaa kama upepo?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Mwafikiri kuyakemea maneno? Maana maneno ya huyo aliyekata tamaa ni kama upepo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Je, mnadhani kwamba mwaweza kuyakosoa maneno? Maneno ya mtu aliyekata tamaa ni upepo tu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Je, mna maana ya kuyasahihisha ninayosema, na kuyafanya maneno ya mtu anayekata tamaa kama upepo?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Je, mna maana ya kuyasahihisha ninayosema, na kuyafanya maneno ya mtu anayekata tamaa kama upepo?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Mwafikiri kuyakemea maneno? Maana maneno ya huyo aliyekata tamaa ni kama upepo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Je, mnadhani kwamba mwaweza kuyakosoa maneno? Maneno ya mtu aliyekata tamaa ni upepo tu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Je? Mwawaza mioyoni mwenu kuonya maneno tu? Maneno ya mtu azimiaye ni ya upepo tu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Mwafikiri kuyakemea maneno? Maana maneno ya huyo aliyekata tamaa ni kama upepo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Munazani kwamba munaweza kuchunguza maneno? Maneno ya mutu aliyekata tamaa ni upepo tu.