Job 6:29 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Acheni tafadhali, kusiwe na uovu; acheni sasa, kwani mimi ni mnyofu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tulizeni hasira, msiwe wadhalimu; angalieni tena, kwa maana nimehatarisha uadilifu wangu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Rudini, nawasihi, lisiwe neno la udhalimu; Naam, rudini tena, neno langu ni la haki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Acheni tafadhali, kusiwe na uovu; acheni sasa, kwani mimi ni mnyofu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tulizeni hasira, msiwe wadhalimu; angalieni tena, kwa maana nimehatarisha uadilifu wangu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tulizeni hasira, msiwe wadhalimu; angalieni tena, kwa maana nimehatarisha uadilifu wangu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Rudini, nawasihi, lisiwe neno la udhalimu; Naam, rudini tena, neno langu ni la haki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Acheni tafadhali, kusiwe na uovu; acheni sasa, kwani mimi ni mnyofu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Rudini, msifanye upotovu! Rudini, mwone, wongofu wangu ungaliko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Rudini, nawasihi, lisiwe neno la udhalimu; Naam, rudini tena, neno langu ni la haki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tafazali mugeuke, kusikuwe uovu; muache sasa, kwa ajili ya haki yangu.