Job 7:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kama nikitenda dhambi, yakudhuru nini ewe mkaguzi wa binadamu? Mbona umeniweka kuwa shabaha ya mapigo yako? Je, mimi nimekuwa mzigo kwako?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ikiwa nimetenda dhambi, nimekufanyia nini, Ewe mlinzi wa wanadamu? Kwa nini umeniweka niwe shabaha yako? Je, nimekuwa mzigo kwako?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwamba nimefanya dhambi, nikufanyieje Ee mlinda wanadamu? Mbona umeniweka niwe shabaha yako, Hata nimekuwa mzigo kwa nafsi yangu?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kama nikitenda dhambi, yakudhuru nini ewe mkaguzi wa binadamu? Mbona umeniweka kuwa shabaha ya mapigo yako? Je, mimi nimekuwa mzigo kwako?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ikiwa nimetenda dhambi, nimekufanyia nini, Ewe mlinzi wa wanadamu? Kwa nini umeniweka niwe shabaha yako? Je, nimekuwa mzigo kwako?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ikiwa nimetenda dhambi, nimekufanyia nini, Ewe mlinzi wa wanadamu? Kwa nini umeniweka niwe shabaha yako? Je, nimekuwa mzigo kwako?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikiwa nimefanya dhambi, nikufanyieje, Ee mlinda wanadamu? Mbona umeniweka niwe shabaha yako, Hata nimekuwa mzigo kwa nafsi yangu?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kama nikitenda dhambi, yakudhuru nini ewe mkaguzi wa binadamu? Mbona umeniweka kuwa shabaha ya mapigo yako? Je, mimi nimekuwa mzigo kwako?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kama nimekosa, nimekufanyia nini, wewe mlinda watu? Mbona umeniweka kuwa shabaha yako ya kuipiga, mpaka nikijiona mwenyewe kuwa mzigo?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwamba nimefanya dhambi, nikufanyieje Ee mlinda wanadamu? Mbona umeniweka niwe shabaha yako, Hata nimekuwa mzigo kwa nafsi yangu?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama nikitenda zambi, inakuuzi nini, ewe muchungaji wa wanadamu? Mbona umeniweka kuwa shabaha ya mapigo yako? Kwa nini nimekuwa muzigo kwako?