Job 8:16 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Jua litokapo yeye hustawi; hueneza matawi yake bustanini mwake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye ni kama mti ulionyeshewa vizuri wakati wa jua, ukieneza machipukizi yake bustanini;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye huwa mti mbichi mbele ya jua, Nayo machipukizi yake huenea katika bustani yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Jua litokapo yeye hustawi; hueneza matawi yake bustanini mwake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye ni kama mti ulionyeshewa vizuri wakati wa jua, ukieneza machipukizi yake bustanini,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye ni kama mti ulionyeshewa vizuri wakati wa jua, ukieneza machipukizi yake bustanini;
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye huwa mti mbichi mbele ya jua, Nayo machipukizi yake huenea katika bustani yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Jua litokapo yeye hustawi; hueneza matawi yake bustanini mwake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye akiwa mwenye utomvu mwingi, ijapo jua liwe kali, nayo machipukizi yake yakilieneza shamba lake,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye huwa mti mbichi mbele ya jua, Nayo machipukizi yake huenea katika bustani yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wako kama ua ambalo jua linapotoka linastawi; linaeneza matawi yake katika bustani yake,