Job 8:3 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwani, wadhani Mungu hupotosha haki? Au, je, Mungu Mwenye Nguvu hupotosha ukweli?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Je, Mungu hupotosha hukumu? Je, Mwenyezi hupotosha kile kilicho haki?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Mungu hupotosha hukumu? Au, huyo Mwenyezi hupotosha yaliyo ya haki?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwani, wadhani Mungu hupotosha haki? Au, je, Mungu Mwenye Nguvu hupotosha ukweli?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Je, Mungu hupotosha hukumu? Je, Mwenyezi hupotosha kile kilicho haki?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Je, Mungu hupotosha hukumu? Je, Mwenyezi hupotosha kile kilicho haki?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Mungu hupotosha hukumu? Au, huyo Mwenyezi hupotosha yaliyo ya haki?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwani, wadhani Mungu hupotosha haki? Au, je, Mungu Mwenye Nguvu hupotosha ukweli?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Je? Yako maamuzi, Mungu anayoyapotoa? Au yako yanyokayo, Mwenyezi anayoyapotoa?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Mungu hupotosha hukumu? Au, huyo Mwenyezi hupotosha yaliyo ya haki?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maana, unazani Mungu anapotosha sheria? Au, Mungu Mwenye Uwezo anapotosha haki?