Job 9:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kama ni kushindana, yeye ana nguvu mno! Na kama ni kutafuta juu ya haki, nani atakayemleta mahakamani?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama ni suala la nguvu, yeye ni mwenye nguvu! Kama ni suala la haki, ni nani awezaye kumwita mahakamani?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama tukitaja nguvu za mashujaa, tazama yupo hapo! Kama tukitaja hukumu, ni nani atakayeniwekea muhula?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kama ni kushindana, yeye ana nguvu mno! Na kama ni kutafuta juu ya haki, nani atakayemleta mahakamani?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama ni suala la nguvu, yeye ni mwenye nguvu! Kama ni suala la haki, ni nani awezaye kumwita mahakamani?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama ni suala la nguvu, yeye ni mwenye nguvu! Kama ni suala la haki, ni nani awezaye kumwita mahakamani?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama tukitaja nguvu za mashujaa, tazama yupo hapo! Kama tukitaja hukumu, ni nani atakayemwita mahakamani?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kama ni kushindana, yeye ana nguvu mno! Na kama ni kutafuta juu ya haki, nani atakayemleta mahakamani?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kama ninatazamia nguvu, nimekwisha kumwona, anavyoshupaa; kama ninatazamia kupiga shauri, yuko nani atakayenishuhudia?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama tukitaja nguvu za mashujaa, tazama yupo hapo! Kama tukitaja hukumu, ni nani atakayeniwekea muhula?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama ni kushindana, yeye ana nguvu sana! Na kama ni kutafuta juu ya haki, nani atakayemuleta mbele ya tribinali?