Job 9:22 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yote ni mamoja, kwa hiyo nasema; Mungu huwaangamiza wema na waovu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hayo yote ni sawa; ndiyo sababu nasema, ‘Yeye huwaangamiza wasio na makosa pamoja na waovu.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hayo yote ni mamoja; kwa hiyo nasema, Yeye huangamiza wakamilifu na waovu pia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yote ni mamoja, kwa hiyo nasema; Mungu huwaangamiza wema na waovu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hayo yote ni sawa, ndiyo sababu nasema, ‘Yeye huwaangamiza wasio na makosa pamoja na waovu.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hayo yote ni sawa; ndiyo sababu nasema, ‘Yeye huwaangamiza wasio na makosa pamoja na waovu.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hayo yote ni mamoja; kwa hiyo nasema, Yeye huangamiza wakamilifu na waovu pia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yote ni mamoja, kwa hiyo nasema; Mungu huwaangamiza wema na waovu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yote ni mamoja; kwa hiyo nasema: Wasiokosa nao wasiomcha yeye huwaangamiza wote.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hayo yote ni mamoja; kwa hiyo nasema, Yeye huangamiza wakamilifu na waovu pia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yote ni mamoja, kwa hiyo ninasema: Mungu anawaangamiza wakamilifu na waovu.