Job 9:23 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maafa yaletapo kifo cha ghafla, huchekelea balaa la wasio na hatia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakati wa pigo liletapo kifo cha ghafula, yeye hudhihaki kule kukata tamaa kwa yule asiye na kosa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama hilo pigo likiua ghafula, Atayadhihaki majaribu yake asiye na kosa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maafa yaletapo kifo cha ghafla, huchekelea balaa la wasio na hatia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati pigo liletapo kifo cha ghafula, yeye hudhihaki kule kukata tamaa kwa yule asiye na kosa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati pigo liletapo kifo cha ghafula, yeye hudhihaki kule kukata tamaa kwa yule asiye na kosa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama hilo pigo likiua ghafla, Atayadhihaki majaribu yake asiye na kosa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maafa yaletapo kifo cha ghafla, huchekelea balaa la wasio na hatia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akiwapatia watu mapigo ya kuwaua kwa mara moja, huwasimanga nao wasiokora manza, wakiyeyuka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama hilo pigo likiua ghafula, Atayadhihaki majaribu yake asiye na kosa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Musiba unapoleta kifo cha rafla, anachekelea hasara ya wasiokuwa na kosa.