Job 9:32 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu si mtu kama mimi niweze kumjibu, hata tuweze kwenda mahakamani pamoja.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Yeye si mwanadamu kama mimi ili niweze kumjibu, ili tuweze kushindana naye mahakamani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwani yeye si mtu, kama mimi, hata nimjibu, Hata tukaribiane katika hukumu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu si mtu kama mimi niweze kumjibu, hata tuweze kwenda mahakamani pamoja.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Yeye si mwanadamu kama mimi ili niweze kumjibu, ili kwamba tuweze kushindana naye mahakamani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Yeye si mwanadamu kama mimi ili niweze kumjibu, ili kwamba tuweze kushindana naye mahakamani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana yeye si mtu, kama mimi, hata nimjibu, Hata tuwe mahakamani pamoja.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu si mtu kama mimi niweze kumjibu, hata tuweze kwenda mahakamani pamoja.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani Mungu si mtu kama mimi, nimjibu, tukaja kukutana shaurini kuamuliwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwani yeye si mtu, kama mimi, hata nimjibu, Hata tukaribiane katika hukumu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu si mutu kama mimi nipate kumujibu, hata tuweze kwenda katika tribinali pamoja.