Job 9:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yeye peke yake alizitandaza mbingu, na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye peke yake huzitandaza mbingu na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ambaye peke yake ni mwenye kuzitandika mbingu, Na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yeye peke yake alizitandaza mbingu, na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye peke yake huzitandaza mbingu na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye peke yake huzitandaza mbingu na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ambaye peke yake ni mwenye kuzitandika mbingu, Na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yeye peke yake alizitandaza mbingu, na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yeye peke yake ndiye anayezitanda mbingu, anatembea na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ambaye peke yake ni mwenye kuzitandika mbingu, Na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yeye peke yake alitandaza mbingu, na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.