John 1:36 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alipomwona Yesu akipita, akasema, “Tazameni! Huyu ndiye Mwanakondoo wa Mungu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Alipomwona Isa akipita, akasema, “Tazama, Mwana-Kondoo wa Mungu!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akamtazama Yesu akitembea, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu!
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Naye akamwona Yesu akitembea, hivyo akasema, “Angalieni, Mwanakondoo wa Mungu!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Alipomwona Yesu akipita akasema, “Tazameni! Huyu ndiye Mwana-kondoo wa Mungu.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alipomwona Yesu akipita, akasema, “Tazameni! Huyu ndiye Mwanakondoo wa Mungu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Alipomwona Yesu akipita, akasema, “Tazama, Mwana-Kondoo wa Mungu!”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Alipomwona Isa akipita, akasema, “Tazama, Mwana-Kondoo wa Mungu!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akamtazama Yesu akitembea, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu!
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alipomwona Yesu akipita, akasema, “Tazameni! Huyu ndiye Mwanakondoo wa Mungu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akamtazama Yesu, akitembea, akasema: Mtazameni mwana kondoo wa Mungu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akamtazama Yesu akitembea, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu!
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakati alipomwona Yesu akipita, akasema: “Angalia Mwana-Kondoo wa Mungu.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akamtazama Yesu, akitembea, akasema, Tazama, Mwana Kondoo wa Mungu!