John 1:37 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hao wanafunzi walimsikia Yohane akisema maneno hayo, wakamfuata Yesu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wale wanafunzi wawili walipomsikia Yahya akisema haya, wakamfuata Isa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wale wanafunzi wawili wakamsikia akinena, wakamfuata Yesu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wale wafuasi wake wawili walimsikia Yohana akisema haya, basi wakaondoka na kumfuata Yesu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hao wanafunzi walimsikia Yohane akisema maneno hayo, wakamfuata Yesu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hao wanafunzi walimsikia Yohane akisema maneno hayo, wakamfuata Yesu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wale wanafunzi wawili walipomsikia Yohana akisema haya, wakamfuata Yesu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wale wanafunzi wawili walipomsikia Yahya akisema haya, wakamfuata Isa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wale wanafunzi wawili wakamsikia akinena, wakamfuata Yesu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hao wanafunzi walimsikia Yohane akisema maneno hayo, wakamfuata Yesu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wale wanafunzi wake wawili waliposikia, akisema hivyo, wakamfuata Yesu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wale wanafunzi wawili wakamsikia akinena, wakamfuata Yesu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wale wanafunzi wawili waliposikia maneno yale, wakamufuata Yesu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wale wanafunzi wawili wakamsikia akinena, wakamfuata Yesu. Yesu akageuka, akawaona wakifuata: akawaambia, Mnatafuta nini?