John 1:5 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nuru hung’aa gizani nalo giza halikuishinda.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Nuru hiyo yamulika gizani, na giza halikuishinda.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nuru hung'aa gizani nalo giza halikuishinda.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nuru hung’aa gizani nalo giza halikuishinda.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwanga huu humulika gizani, lakini giza haikuushika.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nayo nuru yang’aa gizani, wala giza halikuiweza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwangaza ule uliangaza katika giza, wala giza halikuuzimisha.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
nayo nuru yangʼaa gizani, wala giza halikuiweza.