John 1:6 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu alimtuma mtu mmoja jina lake Yohane,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Alikuja mtu mmoja aliyetumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yahya.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Alikuwepo mtu aliyeitwa Yohana, aliyetumwa na Mungu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mungu alimtuma mtu mmoja jina lake Yohane,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu alimtuma mtu mmoja jina lake Yohane,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Alikuja mtu mmoja aliyetumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Alikuja mtu mmoja aliyetumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yahya.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu alimtuma mtu mmoja jina lake Yohane,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Palitokea mtu aliyetumwa na Mungu, jina lake Yohana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kulitokea mutu aliyetumwa na Mungu, jina lake Yoane.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Palitokea mtu ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.