John 1:9 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huu ndio mwanga halisi, mwanga unaokuja ulimwenguni, na kuwaangazia watu wote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nuru halisi inayomwangazia kila mtu ilikuwa inakuja ulimwenguni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Nuru ya kweli, anayeleta mwangaza kwa watu wote, alikuwa tayari kuonekana kwa ulimwengu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Huu ndio mwanga halisi, mwanga unaokuja ulimwenguni, na kuwaangazia watu wote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huu ndio mwanga halisi, mwanga unaokuja ulimwenguni, na kuwaangazia watu wote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwamba nuru halisi, imwangaziayo kila mtu ilikuwa inakuja ulimwenguni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwamba nuru halisi, imwangaziayo kila mtu ilikuwa inakuja ulimwenguni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huu ndio mwanga halisi, mwanga unaokuja ulimwenguni, na kuwaangazia watu wote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndio mwanga wa kweli unaomwangaza kila mtu, tena ndio uliokuwa ukija ulimwenguni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ule mwangaza wa kweli, unaomwangazia kila mutu, unakuja katika dunia.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kulikuwako nuru halisi, imtiayo nuru killa mtu ajae katika ulimwengu.