John 10:13 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yeye hajali kitu juu ya kondoo kwa sababu yeye ni mtu wa mshahara tu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye hukimbia kwa sababu ameajiriwa wala hawajali kondoo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yule hukimbia kwa kuwa ni mtu wa mshahara; wala mambo ya kondoo si kitu kwake.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mtu huyu huwakimbia kondoo kwa sababu yeye ni mfanyakazi wa mshahara tu. Hawajali kabisa kondoo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yeye hajali kitu juu ya kondoo kwa sababu yeye ni mtu wa mshahara tu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yeye hajali kitu juu ya kondoo kwa sababu yeye ni mtu wa mshahara tu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye hukimbia kwa sababu ameajiriwa wala hawajali kondoo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye hukimbia kwa sababu ameajiriwa wala hawajali kondoo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yule hukimbia kwa kuwa ni mtu wa mshahara; wala mambo ya kondoo si kitu kwake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yeye hajali kitu juu ya kondoo kwa sababu yeye ni mtu wa mshahara tu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani yeye ni mfanya kazi tu, hawasumbukii kondoo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yule hukimbia kwa kuwa ni mtu wa mshahara; wala mambo ya kondoo si kitu kwake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yeye hashuguliki na kondoo kwa sababu anatumikia mushahara tu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Mtu wa mshahara hukimhia kwa kuwa ni mtu wa mshahara, wala hatii moyoni mambo ya kondoo.