John 10:17 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Baba ananipenda kwani nautoa uhai wangu ili nipate kuupokea tena.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baba yangu ananipenda kwa kuwa ninautoa uhai wangu ili niupate tena.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Baba ananipenda kwa sababu nautoa uhai wangu. Nautoa uhai wangu ili niweze kuuchukua tena.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Baba ananipenda kwani nautoa uhai wangu ili nipate kuupokea tena.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Baba ananipenda kwani nautoa uhai wangu ili nipate kuupokea tena.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baba yangu ananipenda kwa kuwa ninautoa uhai wangu ili niupate tena.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baba yangu ananipenda kwa kuwa ninautoa uhai wangu ili niupate tena.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Baba ananipenda kwani nautoa uhai wangu ili nipate kuupokea tena.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo Baba ananipenda, kwa sababu najitoa mwenyewe, nife, nipate tena kuwapo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Baba ananipenda kwa sababu mimi mwenyewe ninajitoa kufa, kusudi nipate kuwa muzima tena.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Ndio maana Baba anipenda, kwa sababu nauweka uzima wangu illi niutwae tena.