John 10:2 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini anayeingia kwa kupitia mlangoni, huyo ndiye mchungaji wa kondoo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye anayeingia kupitia kwenye lango ndiye mchungaji wa kondoo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Aingiaye mlangoni ni mchungaji wa kondoo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini mtu anayewachunga kondoo hupitia mlangoni. Yeye ndiye mchungaji.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini anayeingia kwa kupitia mlangoni, huyo ndiye mchungaji wa kondoo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini anayeingia kwa kupitia mlangoni, huyo ndiye mchungaji wa kondoo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye anayeingia kwa kupitia kwenye lango ndiye mchungaji wa kondoo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye anayeingia kwa kupitia kwenye lango ndiye mchungaji wa kondoo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Aingiaye mlangoni ni mchungaji wa kondoo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini anayeingia kwa kupitia mlangoni, huyo ndiye mchungaji wa kondoo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini anayeingia mlangoni ndiye mchungaji wa kondoo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Aingiaye mlangoni ni mchungaji wa kondoo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini anayeingia kwa mulango ni muchungaji wa kondoo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Aingiae kwa mlango ni mchunga wa kondoo.