John 10:20 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wengi wao wakasema, “Ana pepo; tena ni mwendawazimu! Ya nini kumsikiliza?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wengi wao wakasema, “Huyu amepagawa na pepo mchafu, naye amechanganyikiwa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wengi wao wakasema, Ana pepo huyu, tena ana wazimu; mbona mnamsikiliza?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wengi wao wakasema, “Pepo mchafu amemwingia na kumfanya awe mwendawazimu. Kwa nini sisi tumsikilize?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wengi wao wakasema, “Ana pepo; tena ni mwendawazimu! Ya nini kumsikiliza?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wengi wao wakasema, “Ana pepo; tena ni mwendawazimu! Ya nini kumsikiliza?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wengi wao wakasema, “Huyu amepagawa na pepo mchafu, naye amechanganyikiwa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wengi wao wakasema, “Huyu amepagawa na pepo mchafu, naye amechanganyikiwa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wengi wao wakasema, Ana pepo huyu, tena ana wazimu; mbona mnamsikiliza?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wengi wao wakasema, “Ana pepo; tena ni mwendawazimu! Ya nini kumsikiliza?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wengine wao wakasema: Ana pepo, tena yuko na wazimu. Mwamsikilizaje?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wengi wao wakasema, Ana pepo huyu, tena ana wazimu; mbona mnamsikiliza?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wengi kati yao wakasema: “Yuko na pepo! Kweli ni mwenda-wazimu! Sababu gani munamusikiliza?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wengi wao wakasema, Ana pepo, tena ana wazimu; mbona mnamsikiliza?