John 10:39 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakajaribu tena kumkamata lakini akachopoka mikononi mwao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo wakajaribu kumkamata kwa mara nyingine, lakini akaponyoka kutoka mikononi mwao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakatafuta tena kumkamata; lakini akatoka mikononi mwao.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Walijaribu kumkamata Yesu tena, lakini yeye akawatoroka.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wakajaribu tena kumkamata lakini akachopoka mikononi mwao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakajaribu tena kumkamata lakini akachopoka mikononi mwao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo wakajaribu kumkamata kwa mara nyingine, lakini akaponyoka kutoka mikononi mwao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo wakajaribu kumkamata kwa mara nyingine, lakini akaponyoka kutoka mikononi mwao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakatafuta tena kumkamata; lakini akatoka mikononi mwao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakajaribu tena kumkamata lakini akachopoka mikononi mwao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Basi, wakatafuta tena kumkamata, lakini akatoka mikononi mwao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakatafuta tena kumkamata; lakini akatoka mikononi mwao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakajaribu tena kumufunga Yesu, lakini akawaponyoka.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakatafuta marra ya pili kumkamata: akatoka mikononi mwao.