John 10:6 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu aliwaambia mfano huo, lakini wao hawakuelewa alichotaka kuwaambia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa alitumia mfano huu, lakini wao hawakuelewa hayo aliyokuwa akiwaambia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mithali hiyo Yesu aliwaambia, lakini wao hawakuelewa na mambo hayo aliyowaambia.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu aliwaambia watu habari hii, lakini hawakuelewa ilikuwa ina maana gani.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu aliwaambia mfano huo, lakini wao hawakuelewa alichotaka kuwaambia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu aliwaambia mfano huo, lakini wao hawakuelewa alichotaka kuwaambia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu alitumia mfano huu, lakini wao hawakuelewa hayo aliyokuwa akiwaambia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa alitumia mfano huu, lakini wao hawakuelewa hayo aliyokuwa akiwaambia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mithali hiyo Yesu aliwaambia, lakini wao hawakuelewa mambo hayo aliyowaambia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu aliwaambia mfano huo, lakini wao hawakuelewa alichotaka kuwaambia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Fumbo hili Yesu aliwaambia, lakini wale hawakuitambua maana yao, aliyowaambia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mithali hiyo Yesu aliwaambia, lakini wao hawakuelewa na mambo hayo aliyowaambia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu aliwaambia mufano huu, lakini hawakuelewa maneno aliyosema.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Methali hii Yesu aliwaambia; lakini wao hawakuelewa na mambo hayo aliyowaambia.