John 10:7 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, akasema tena, “Kweli nawaambieni, mimi ni mlango wa kondoo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo Isa akasema nao tena, akawaambia, “Amin, amin nawaambia, mimi ndimi lango la kondoo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Yesu aliwaambia tena, Amin, amin, nawaambieni, Mimi ndimi mlango wa kondoo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo Yesu akasema tena, “Hakika ninawaambia, Mimi ni mlango wa kondoo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, akasema tena, “Kweli nawaambieni, mimi ni mlango wa kondoo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, akasema tena, “Kweli nawaambieni, mimi ni mlango wa kondoo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo Yesu akasema nao tena akawaambia, “Amin, amin nawaambia, mimi ndimi lango la kondoo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo Isa akasema nao tena akawaambia, “Amin, amin nawaambia, mimi ndimi lango la kondoo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi Yesu aliwaambia tena, Amin, amin, nawaambieni, Mimi ndimi mlango wa kondoo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, akasema tena, “Kweli nawaambieni, mimi ni mlango wa kondoo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu akasema tena: Kweli kweli nawaambiani: Mimi ndio mlango wa kondoo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Yesu aliwaambia tena, Amin, amin, nawaambieni, Mimi ndimi mlango wa kondoo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi Yesu akaongeza kusema: “Kweli, kweli ninawaambia: mimi ni mulango wa upango wa kondoo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi Yesu aliwaamhia tena, Amin, amin, nawaambieni, Mimi ndimi niliye mlango wa kondoo;