John 11:10 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini mtu akitembea usiku atajikwaa kwa maana mwanga haumo ndani yake.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini wale wanaotembea usiku hujikwaa kwa sababu hawana nuru ndani yao.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bali akienda usiku hujikwaa; kwa sababu nuru haimo ndani yake.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini yeyote anayetembea usiku atajikwaa kwa sababu hana nuru inayomwongoza.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini mtu akitembea usiku atajikwaa kwa maana mwanga haumo ndani yake.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini mtu akitembea usiku atajikwaa kwa maana mwanga haumo ndani yake.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini wale watembeao usiku hujikwaa kwa sababu hakuna nuru ndani yao.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini wale watembeao usiku hujikwaa kwa sababu hakuna nuru ndani yao.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Bali akienda usiku hujikwaa; kwa sababu nuru haimo ndani yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini mtu akitembea usiku atajikwaa kwa maana mwanga haumo ndani yake.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
lakini mtu akienda usiku hujikwaa, kwani mwanga haumo mwake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Bali akienda usiku hujikwaa; kwa sababu nuru haimo ndani yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini kama mutu akitembea usiku, anajikwaa, kwa sababu hana mwangaza ndani yake.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bali akienda usiku, hujikwaa, kwa sababu nuru haimo ndani yake.