John 11:12 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wanafunzi wake wakamwambia, “Bwana, ikiwa amelala, basi atapona.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wanafunzi wakamwambia, “Bwana, kama amelala usingizi ataamka.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi wale wanafunzi wakamwambia, Bwana, ikiwa amelala, atapona.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wafuasi wake wakajibu, “Lakini, Bwana, kama amelala ataweza kupona.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wanafunzi wake wakamwambia, “Bwana, ikiwa amelala, basi atapona.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wanafunzi wake wakamwambia, “Bwana, ikiwa amelala, basi atapona.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wanafunzi wakamwambia, “Bwana, kama amelala usingizi ataamka.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wanafunzi wakamwambia, “Bwana Isa, kama amelala usingizi ataamka.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi wale wanafunzi wakamwambia, Bwana, ikiwa amelala, atapona.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wanafunzi wake wakamwambia, “Bwana, ikiwa amelala, basi atapona.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wanafunzi wakamwambia: Bwana, akiwa amelala atapona.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi wale wanafunzi wakamwambia, Bwana, ikiwa amelala, atapona.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi wanafunzi wake wakamujibu: “Bwana, ikiwa amelala usingizi, atapona.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi wale wanafunzi wake wakamwambia, Bwana, kama amelala atapona.