John 11:17 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu alipofika huko alikuta Lazaro amekwisha kaa kaburini kwa siku nne.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa alipowasili huko alikuta Lazaro amekuwa kaburini siku nne.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Yesu alipofika, alimkuta amekwisha kuwamo kaburini yapata siku nne.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akaenda Bethania na huko akakuta Lazaro amekufa na kuwa kaburini kwa siku nne.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu alipofika huko alikuta Lazaro amekwisha kaa kaburini kwa siku nne.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu alipofika huko alikuta Lazaro amekwisha kaa kaburini kwa siku nne.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu alipowasili huko alikuta Lazaro amekwisha kuwako kaburini siku nne.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa alipowasili huko alikuta Lazaro amekuwa kaburini siku nne.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi Yesu alipofika, alimkuta amekwisha kuwamo kaburini yapata siku nne.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu alipofika huko alikuta Lazaro amekwisha kaa kaburini kwa siku nne.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu alipokuja akamkuta, amekwisha kuwa kaburini siku nne.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Yesu alipofika, alimkuta amekwisha kuwamo kaburini yapata siku nne.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakati Yesu alipofika, akamukuta Lazaro amekwisha kuzikwa tangu siku ine.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi alipofika Yesu, akamkuta amekwisha kuwa kaburini yapata siku nne.