John 11:30 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu alikuwa hajaingia kijijini, ila alikuwa bado mahali palepale Martha alipomlaki.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa alikuwa hajaingia kijijini, bali alikuwa bado yuko mahali pale alipokutana na Martha.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na Yesu alikuwa hajafika ndani ya kijiji; lakini alikuwa akalipo pale pale alipomlaki Martha.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu hakuwa amefika kijijini. Alikuwa bado yupo pale pale Martha alipomkuta.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu alikuwa hajaingia kijijini, ila alikuwa bado mahali palepale Martha alipomlaki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu alikuwa hajaingia kijijini, ila alikuwa bado mahali palepale Martha alipomlaki.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu alikuwa hajaingia kijijini, bali alikuwa bado yuko mahali pale alipokutana na Martha.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa alikuwa hajaingia kijijini, bali alikuwa bado yuko mahali pale alipokutana na Martha.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na Yesu alikuwa hajafika ndani ya kijiji; lakini alikuwa angalipo pale pale alipomlaki Martha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu alikuwa hajaingia kijijini, ila alikuwa bado mahali palepale Martha alipomlaki.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
maana Yesu alikuwa hajaingia kijijini, ila alikuwa bado hapo, Marta alipomkuta.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na Yesu alikuwa hajafika ndani ya kijiji; lakini alikuwa akalipo pale pale alipomlaki Martha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
(Yesu alikuwa hajaingia bado katika kijiji, alikuwa angali pahali Marta alipomukuta.)
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na Yesu alikuwa hajafika ndani ya kijiji, lakini alikuwa pale pale alipomlaki Martha.