John 11:34 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha akawauliza, “Mlimweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo uone.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akauliza, “Mmemweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo upaone.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
akasema, Mmemweka wapi? Wakamwambia, Bwana, njoo utazame.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Akawauliza, “Mmemweka wapi?” Wakasema, “Bwana, njoo uone.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kisha akawauliza, “Mlimweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo uone.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha akawauliza, “Mlimweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo uone.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akauliza, “Mmemweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo upaone.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akauliza, “Mmemweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo upaone.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
akasema, Mmemweka wapi? Wakamwambia, Bwana, njoo utazame.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha akawauliza, “Mlimweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo uone.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akauliza: Mmemzika wapi? Wakamwambia: Njoo, Bwana, utazame!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
akasema, Mmemweka wapi? Wakamwambia, Bwana, njoo utazame.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akauliza: “Mulimuzika wapi?” Wakamujibu: “Bwana, kuja uone.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
akasema, Mmemweka wapi? Wakamwambia, Bwana, njoo, utazame.