John 11:43 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro! Toka nje!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya kusema haya, Isa akapaza sauti yake, akaita, “Lazaro, njoo huku!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Baada ya Yesu kusema hivi akaita kwa sauti kubwa, “Lazaro, toka nje!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro! Toka nje!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro! Toka nje!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada ya kusema haya, Yesu akapaza sauti yake akaita, “Lazaro, njoo huku!”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada ya kusema haya, Isa akapaza sauti yake, akaita, “Lazaro, njoo huku!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro! Toka nje!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alipokwisha kuyasema haya akaita na kupaza sauti: Lazaro, toka nje!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakati alipokwisha kusema maneno haya, akaita kwa sauti kubwa, akisema: “Lazaro, toka inje.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akiisha kusema haya, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, toka, njoo huku.