John 11:6 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alipopata habari kwamba Lazaro ni mgonjwa, Yesu aliendelea kukaa mahali hapo alipokuwa kwa siku mbili zaidi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hata hivyo, baada ya kusikia kwamba Lazaro ni mgonjwa, alikawia huko alikokuwa kwa siku mbili zaidi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi aliposikia ya kwamba hawezi, alikaa bado siku mbili pale pale alipokuwapo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo aliposikia kwamba Lazaro ni mgonjwa, akabaki alipokuwa kwa siku mbili zaidi,
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Alipopata habari kwamba Lazaro ni mgonjwa, Yesu aliendelea kukaa mahali hapo alipokuwa kwa siku mbili zaidi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alipopata habari kwamba Lazaro ni mgonjwa, Yesu aliendelea kukaa mahali hapo alipokuwa kwa siku mbili zaidi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
baada ya kusikia kwamba Lazaro ni mgonjwa, aliendelea kukawia huko alikokuwa kwa siku mbili zaidi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
baada ya kusikia kwamba Lazaro ni mgonjwa, aliendelea kukawia huko alikokuwa kwa siku mbili zaidi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi aliposikia ya kwamba ni mgonjwa, bado alikaa siku mbili pale pale alipokuwapo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alipopata habari kwamba Lazaro ni mgonjwa, Yesu aliendelea kukaa mahali hapo alipokuwa kwa siku mbili zaidi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Aliposikia, ya kuwa ni mgonjwa, akakaa siku mbili hapo, alipokuwapo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi aliposikia ya kwamba hawezi, alikaa bado siku mbili pale pale alipokuwapo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu aliposikia kwamba Lazaro yuko mugonjwa, akabaki tena kwa muda wa siku mbili pahali alipokuwa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi aliposikia kwamba hawezi alikaa bado siku mbili mahali pale alipokuwapo.