John 12:23 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akawaambia, “Saa ya kutukuzwa kwa Mwana wa Mtu imefika!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akawajibu, “Saa imewadia ya Mwana wa Adamu kutukuzwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye Yesu akawajibu, akasema, Saa imefika atukuzwe Mwana wa Adamu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akawaambia Filipo na Andrea, “Wakati umefika kwa Mwana wa Adamu kuupokea utukufu wake.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akawaambia, “Saa ya kutukuzwa kwa Mwana wa Mtu imefika!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akawaambia, “Saa ya kutukuzwa kwa Mwana wa Mtu imefika!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akawajibu, “Saa imewadia ya Mwana wa Adamu kutukuzwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akawajibu, “Saa imewadia ya Mwana wa Adamu kutukuzwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye Yesu akawajibu, akasema, Saa imefika atukuzwe Mwana wa Adamu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akawaambia, “Saa ya kutukuzwa kwa Mwana wa Mtu imefika!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Yesu alipowajibu akisema: Saa imefika, Mwana wa mtu atukuzwe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye Yesu akawajibu, akasema, Saa imefika atukuzwe Mwana wa Adamu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akawajibu: “Saa ya kutukuzwa kwa Mwana wa Mutu imetimia.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akajibu, akinena, Saa imefika, atukuzwe Mwana wa Adamu.