John 12:30 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini Yesu akawaambia, “Sauti hiyo haikutokea kwa ajili yangu mimi, ila kwa ajili yenu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akawaambia, “Sauti hii imesikika kwa faida yenu, wala si kwa faida yangu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akajibu, akasema, Sauti hiyo haikuwako kwa ajili yangu, bali kwa ajili yenu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akasema, “Sauti hiyo ilikuwa ni kwa ajili yenu si kwa ajili yangu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini Yesu akawaambia, “Sauti hiyo haikutokea kwa ajili yangu mimi, ila kwa ajili yenu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini Yesu akawaambia, “Sauti hiyo haikutokea kwa ajili yangu mimi, ila kwa ajili yenu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akawaambia, “Sauti hii imesikika kwa faida yenu, wala si kwa faida yangu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akawaambia, “Sauti hii imesikika kwa faida yenu, wala si kwa faida yangu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akajibu, akasema, Sauti hiyo haikuwako kwa ajili yangu, bali kwa ajili yenu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini Yesu akawaambia, “Sauti hiyo haikutokea kwa ajili yangu mimi, ila kwa ajili yenu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu akajibu akisema: Sauti hii haikutoka kwa ajili yangu, ila kwa ajili yenu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akajibu, akasema, Sauti hiyo haikuwako kwa ajili yangu, bali kwa ajili yenu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Yesu akawaambia: “Sauti hii haikusikilika kwa ajili yangu, lakini kwa ajili yenu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akajibu, akasema, Sauti hii haikuwa kwa ajili yangu, bali kwa ajili yenu.