John 12:43 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Walipendelea kusifiwa na watu kuliko kusifiwa na Mungu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wao walipenda sifa za wanadamu kuliko sifa zinazotoka kwa Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana walipenda utukufu wa wanadamu kuliko utukufu wa Mungu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wao walipenda kusifiwa na watu zaidi kuliko kupata sifa zinazotoka kwa Mungu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Walipendelea kusifiwa na watu kuliko kusifiwa na Mungu
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Walipendelea kusifiwa na watu kuliko kusifiwa na Mungu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wao walipenda sifa za wanadamu kuliko sifa zitokazo kwa Mungu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wao walipenda sifa za wanadamu kuliko sifa zitokazo kwa Mungu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana walipenda utukufu wa wanadamu kuliko utukufu wa Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Walipendelea kusifiwa na watu kuliko kusifiwa na Mungu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani kutukuzwa na watu walikupenda kuliko kutukuzwa na Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana walipenda utukufu wa wanadamu kuliko utukufu wa Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wao walipenda kusifiwa na watu kuliko kupata sifa inayotoka kwa Mungu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana waliupenda utukufu wa wana Adamu kuliko utukufu wa Mungu.