John 13:24 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Simoni Petro akamwashiria na kusema: “Mwulize anasema juu ya nani.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Simoni Petro akampungia mkono yule mwanafunzi, akamwambia, “Muulize anamaanisha nani.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Simoni Petro akampungia mkono, akamwambia, Uliza, ni nani amtajaye?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Simoni Petro akaonyesha ishara kwa mfuasi huyo amwulize Yesu alikuwa anamzungumzia nani.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, Simoni Petro akamwashiria na kusema: “Mwulize anasema juu ya nani.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Simoni Petro akamwashiria na kusema: “Mwulize anasema juu ya nani.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Simoni Petro akampungia mkono yule mwanafunzi akamwambia, “Mwulize anamaanisha ni nani.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Simoni Petro akampungia mkono yule mwanafunzi, akamwambia, “Muulize anamaanisha nani.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi Simoni Petro akampungia mkono, akamwambia, Uliza, ni nani amtajaye?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Simoni Petro akamwashiria na kusema: “Mwulize anasema juu ya nani.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Simoni Petero akamkonyeza huyo, amwulize, kama ni nani, anayemsema.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Simoni Petro akampungia mkono, akamwambia, Uliza, ni nani amtajaye?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi Simoni Petro akamukonyezea yule mwanafunzi jicho kusudi amwulize Yesu ni nani anayemusema.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi Simon Petro akampungia mkono huyo, amwulize, Ni nani anaemtaja?