John 13:7 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akamjibu, “Huelewi sasa ninachofanya lakini utaelewa baadaye.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akamjibu, “Hivi sasa hutambui lile ninalofanya, lakini baadaye utaelewa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akajibu, akamwambia, Nifanyalo wewe hujui sasa; lakini utalifahamu baadaye.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akamjibu, “Huyaelewi ninayofanya hivi sasa. Lakini utayaelewa baadaye.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akamjibu, “Huelewi sasa ninachofanya lakini utaelewa baadaye.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akamjibu, “Huelewi sasa ninachofanya lakini utaelewa baadaye.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akamjibu, “Hivi sasa hutambui lile ninalofanya, lakini baadaye utaelewa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akamjibu, “Hivi sasa hutambui lile ninalofanya, lakini baadaye utaelewa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akajibu, akamwambia, Nifanyalo wewe hujui sasa; lakini utalifahamu baadaye.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akamjibu, “Huelewi sasa ninachofanya lakini utaelewa baadaye.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu akajibu, akamwambia: Ninachokifanya mimi, wewe hukijui sasa, lakini utakitambua halafu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akajibu, akamwambia, Nifanyalo wewe hujui sasa; lakini utalifahamu baadaye.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akamujibu: “Sasa hauelewi jambo ninalofanya, lakini utalielewa nyuma.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akajibu, akamwambia, Nifanyayo mimi, wewe huyafahamu sasa; lakini utayajua baadae.