John 14:16 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nami nitamwomba Baba naye atawapeni Msaidizi mwingine, atakayekaa nanyi milele.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine akae nanyi milele.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine atakayekuwa nanyi siku zote.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Nami nitamwomba Baba naye atawapeni Msaidizi mwingine, atakayekaa nanyi milele.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nami nitamwomba Baba naye atawapeni Msaidizi mwingine, atakayekaa nanyi milele.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine akae nanyi milele.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine akae nanyi milele.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nami nitamwomba Baba naye atawapeni Msaidizi mwingine, atakayekaa nanyi milele.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa mtuliza mioyo mwingine, akae pamoja nanyi kale na kale.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nami nitamwomba Baba awape musaidizi mwingine kwa kukaa nanyi milele;
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na mimi nitamwomba Baba, nae atawapa Mfariji mwingine, akaae nanyi hatta milele,