John 14:30 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Sitasema nanyi tena mambo mengi, maana mtawala wa ulimwengu huu anakuja. Kwangu mimi hawezi kitu;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sitasema nanyi zaidi, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu anakuja, naye hana kitu kwangu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mimi sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana yuaja mkuu wa ulimwengu huu, wala hana kitu kwangu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Sitaendelea kuongea nanyi kwa muda mrefu zaidi. Mtawala wa ulimwengu huu anakuja. Hata hivyo hana nguvu juu yangu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Sitasema nanyi tena mambo mengi, maana mtawala wa ulimwengu huu anakuja. Kwangu mimi hawezi kitu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Sitasema nanyi tena mambo mengi, maana mtawala wa ulimwengu huu anakuja. Kwangu mimi hawezi kitu;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sitasema nanyi zaidi, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu anakuja, naye hana kitu kwangu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sitasema nanyi zaidi, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu anakuja, naye hana kitu kwangu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mimi sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana anakuja mkuu wa ulimwengu huu, wala hana kitu kwangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Sitasema nanyi tena mambo mengi, maana mtawala wa ulimwengu huu anakuja. Kwangu mimi hawezi kitu;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sitasema nanyi mengi tena, kwani mtawala ulimwengu huu anakuja; lakini hakuna tena, anachokiweza kwangu mimi,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mimi sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana yuaja mkuu wa ulimwengu huu, wala hana kitu kwangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa sababu mutawala wa dunia hii anakuja. Yeye hana uwezo juu yangu,
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana mkuu wa ulimwengu anakuja, wala hana kitu kwangu: