John 14:5 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Thoma akamwuliza, “Bwana, hatujui unakokwenda, tutawezaje basi, kuijua hiyo njia?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tomaso akamwambia, “Bwana, sisi hatujui unakoenda, tutaijuaje njia?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi twaijuaje njia?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Thomaso akasema, “Bwana, hatujui unakokwenda, sasa tutaijuaje njia?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Thoma akamwuliza, “Bwana, hatujui unakokwenda, tutawezaje basi, kuijua hiyo njia?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Thoma akamwuliza, “Bwana, hatujui unakokwenda, tutawezaje basi, kuijua hiyo njia?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tomasi akamwam bia, “Bwana, sisi hatujui unakokwenda, tutaijuaje njia?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tomaso akamwambia, “Bwana, sisi hatujui unakokwenda, tutaijuaje njia?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi tunaijuaje njia?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Thoma akamwuliza, “Bwana, hatujui unakokwenda, tutawezaje basi, kuijua hiyo njia?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Toma alipomwambia: Bwana, tusipopajua, unapokwenda, njia tutaijuaje?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi twaijuaje njia?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Toma akamwambia: “Bwana, hatujui pahali unapokwenda, basi namna gani tutajua njia?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Tomaso akamwambia, Bwana, hatujui uendako; twaijuaje njia?