John 15:1 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Mimi ndimi mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mimi ndimi mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akasema, “Mimi ndiye mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Mimi ndimi mzabibu wa kweli na Baba yangu ndiye mkulima.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Mimi ndimi mzabibu wa kweli na Baba yangu ndiye mkulima.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mimi ndimi mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Mimi ni mzabibu wa kweli naye Baba yangu ndiye mpalilizi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mimi ndimi mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Mimi ni muzabibu wa kweli, na Baba yangu ni mulimaji.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
MIMI ndimi niliye mzabibu wa kweli, na Baba yangu ni mkulima.