John 16:12 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Ninayo bado mengi ya kuwaambieni, ila kwa sasa hamwezi kuyastahimili.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Bado ninayo mambo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili sasa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hata bado nikali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili hivi sasa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ninayo mambo mengi ya kuwaeleza, lakini ni magumu kwenu kuyapokea kwa sasa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Ninayo bado mengi ya kuwaambieni, ila kwa sasa hamwezi kuyastahimili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Ninayo bado mengi ya kuwaambieni, ila kwa sasa hamwezi kuyastahimili.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Bado ninayo mambo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili sasa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Bado ninayo mambo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili sasa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hata bado ningali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamuwezi kuyastahimili hivi sasa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Ninayo bado mengi ya kuwaambieni, ila kwa sasa hamwezi kuyastahimili.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yako maneno mengi bado, ninayotaka kuwaambia; lakini sasa mngeyaona kuwa mzigo usiochukulika.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hata bado nikali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili hivi sasa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Ningali na maneno mengi ya kuwaambia, lakini sasa hamujakuwa na uwezo wa kuyafahamu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Hatta ninayo mengi bado ya kuwaambieni, lakini hamwezi kuyastahimili sasa.