John 16:3 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watawatendeeni mambo hayo kwa sababu hawamjui Baba, wala hawanijui mimi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nao watawatenda haya kwa sababu hawamjui Baba wala mimi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na hayo watawatenda kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Watafanya hivyo kwa sababu hawajamjua Baba, na hawajanijua mimi pia.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Watawatendeeni mambo hayo kwa sababu hawamjui Baba, wala hawanijui mimi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watawatendeeni mambo hayo kwa sababu hawamjui Baba, wala hawanijui mimi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nao watawatenda haya kwa sababu hawamjui Baba wala mimi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nao watawatenda haya kwa sababu hawamjui Baba wala mimi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na hayo watawatenda kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watawatendeeni mambo hayo kwa sababu hawamjui Baba, wala hawanijui mimi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hivyo watavifanya, kwa sababu hawakumtambua Baba wala mimi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na hayo watawatenda kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watafanya hivi kwa sababu hawakumujua Baba wala mimi.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na hayo watawatendeni kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi.