John 18:30 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakamjibu, “Kama huyu hangalikuwa mwovu hatungalimleta kwako.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wao wakamjibu, “Kama huyu mtu hakuwa mhalifu, tusingemleta kwako.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakajibu, wakamwambia, Kama huyu asingekuwa mtenda mabaya, tusingemleta kwako.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wakajibu, “Yeye ni mtu mbaya. Ndiyo maana tumemleta kwako.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wakamjibu, “Kama huyu hangalikuwa mwovu hatungalimleta kwako.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakamjibu, “Kama huyu hangalikuwa mwovu hatungalimleta kwako.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wao wakamjibu, “Kama huyu mtu hakuwa mhalifu tusingemleta kwako.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wao wakamjibu, “Kama huyu mtu hakuwa mhalifu tusingemleta kwako.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakajibu, wakamwambia, Kama huyu asingekuwa mtenda mabaya, tusingemleta kwako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakamjibu, “Kama huyu hangalikuwa mwovu hatungalimleta kwako.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Walipojibu wakimwambia: Huyu kama asingekuwa mwenye kufanya maovu, tusingemleta kwako,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakajibu, wakamwambia, Kama huyu asingekuwa mtenda mabaya, tusingemleta kwako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nao wakamujibu: “Kama asingekuwa mutenda maovu, tusingemuleta kwako.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakajibu, wakamwambia, Kama huyu asingekuwa mtu mwovu, tusingemleta kwako.