John 19:36 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Jambo hilo lilitendwa ili Maandiko Matakatifu yatimie: “Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana mambo haya yalitukia ili andiko litimie, lisemalo, “Hakuna hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie, Hapana mfupa wake utakaovunjwa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mambo haya yalitokea ili kutimiza Maandiko yaliyosema, “Hakuna mfupa wake utakaovunjwa”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Jambo hilo lilitendwa ili Maandiko Matakatifu yatimie: “Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Jambo hilo lilitendwa ili Maandiko Matakatifu yatimie: “Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana mambo haya yalitukia ili Maandiko yapate kutimia, yale yasemayo, “Hakuna hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana mambo haya yalitukia ili Maandiko yapate kutimia, yale yasemayo, “Hakuna hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie, Hapana mfupa wake utakaovunjwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Jambo hilo lilitendwa ili Maandiko Matakatifu yatimie: “Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani hayo yalikuwa, yatimie yaliyoandikwa: Hakuna mfupa wake utakaovunjwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie, Hapana mfupa wake utakaovunjwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mambo haya yalifanyika kusudi Maandiko Matakatifu yanayosema hivi yatimie: “Hakuna hata mufupa wake mumoja utakaovunjwa.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana haya yalitukia andiko litimie, Hapana mfupa wake utakaovunjwa. Na tena,