John 19:37 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tena Maandiko mengine yanasema: “Watamtazama yule waliyemtoboa.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tena andiko lingine lasema, “Watamtazama yeye waliyemchoma.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na tena andiko lingine lanena,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
na “Watu watamwangalia yeye waliyemchoma.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Tena Maandiko mengine yanasema: “Watamtazama yule waliyemtoboa.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tena Maandiko mengine yanasema: “Watamtazama yule waliyemtoboa.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tena Maandiko mengine yanasema, “Watamtazama yeye waliyemchoma kwa mkuki.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tena Andiko lingine lasema, “Watamtazama yeye waliyemchoma.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na tena andiko lingine lanena, Watamtazama yeye waliyemchoma.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tena Maandiko mengine yanasema: “Watamtazama yule waliyemtoboa.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena liko neno jingine lililoandikwa la kwamba: Watamtazama yule, waliyemchoma.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na tena andiko lingine lanena, Watamtazama yeye waliyemchoma.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na tena Maandiko mengine Matakatifu yanasema: “Watamwangalia yule waliyemutoboa kwa mukuki.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
andiko la pili lanena, Watamtazama yeye waliyemchoma.