John 2:19 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akawaambia, “Vunjeni hekalu hili, nami nitalijenga kwa siku tatu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akawajibu, “Libomoeni hili Hekalu, nami nitalijenga tena kwa siku tatu!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akajibu, akawaambia, Livunjeni hekalu hili, nami katika siku tatu nitalisimamisha.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akajibu, “Bomoeni hekalu hili nami nitalijenga tena kwa muda wa siku tatu.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akawaambia, “Vunjeni Hekalu hili, nami nitalijenga kwa siku tatu.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akawaambia, “Vunjeni hekalu hili, nami nitalijenga kwa siku tatu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akawajibu, “Libomoeni hili Hekalu, nami nitalijenga tena kwa siku tatu!”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akawajibu, “Libomoeni hili Hekalu, nami nitalijenga tena kwa siku tatu!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akajibu, akawaambia, Livunjeni hekalu hili, nami katika siku tatu nitalisimamisha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akawaambia, “Vunjeni hekalu hili, nami nitalijenga kwa siku tatu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu akajibu akiwaambia: Livunjeni Jumba hili la Mungu! Nami nitalijenga tena muda wa siku tatu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akajibu, akawaambia, Livunjeni hekalu hili, nami katika siku tatu nitalisimamisha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akawajibu: “Mubomoe hekalu hili, nami nitalijenga katika siku tatu.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akajibu, akawaambia, Livunjeni hekalu hii, nami kwa siku tatu nitaisimamisha.