John 2:21 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini Yesu alikuwa anaongea juu ya hekalu ambalo ni mwili wake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini yeye Hekalu alilozungumzia ni mwili wake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini yeye alinena habari za hekalu la mwili wake.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini Yesu aliposema “hekalu hili”, alikuwa anazungumzia mwili wake.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini Yesu alikuwa anaongea juu ya Hekalu ambalo ni mwili wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini Yesu alikuwa anaongea juu ya hekalu ambalo ni mwili wake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini yeye Hekalu alilozungumzia ni mwili wake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini yeye Hekalu alilozungumzia ni mwili wake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini yeye alinena habari za hekalu la mwili wake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini Yesu alikuwa anaongea juu ya hekalu ambalo ni mwili wake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini yeye alilisema Jumba la Mungu lililo mwili wake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini yeye alinena habari za hekalu la mwili wake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini hekalu ambalo Yesu alisema juu yake lilikuwa mwili wake.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Lakini yeye alinena khabari za hekalu ya mwili wake.