John 2:4 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akamjibu, “Mama, usiniambie la kufanya. Saa yangu bado.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akamwambia, “Mama, kwa nini unanihusisha? Saa yangu haijawadia.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akajibu, “Mama, kwa nini unaniambia mambo hayo? Wakati sahihi kwangu kufanya kazi haujafika bado.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akamjibu, “Mama, usiniambie la kufanya. Saa yangu bado.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akamjibu, “Mama, usiniambie la kufanya. Saa yangu bado.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akamwambia, “Mwanamke, nina nini nawe? Saa yangu haijawadia.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akamwambia, “Mwanamke, nina nini nawe? Saa yangu haijawadia.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akamjibu, “Mama, usiniambie la kufanya. Saa yangu bado.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu akamwambia: Mama, tuko na jambo gani, mimi na wewe? Saa yangu haijaja bado.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Yesu akamujibu: “Mama, kuna maneno gani kati yako nami? Saa yangu haijatimia bado.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akamwambia, Bibi, ina nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia.