John 20:28 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Thoma akamjibu, “Bwana wangu na Mungu wangu!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tomaso akamwambia, “Bwana wangu na Mungu wangu!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Tomaso akamwambia Yesu, “Bwana wangu na Mungu wangu!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Thoma akamjibu, “Bwana wangu na Mungu wangu!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Thoma akamjibu, “Bwana wangu na Mungu wangu!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tomasi akamwambia, “Bwana wangu na Mungu wangu!”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tomaso akamwambia, “Bwana wangu na Mungu wangu!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Thoma akamjibu, “Bwana wangu na Mungu wangu!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Toma alipomjibu, akamwambia: Bwana wangu na Mungu wangu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Toma akamujibu: “Bwana wangu na Mungu wangu!”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu, na Mungu wangu.